![]() |
Katika
Mechi ya kwanza Japan ilifanikiwa kuichakaza Egypt kwa bao 3-0 na Egypt
ilicheza Mechi hiyo kuanzia Dakika ya 41, ikiwa bao 1-0 nyuma, Mtu 10 kufuatia
Saad Samir kupewa Kadi Nyekundu.
Bao
za Japan zilifungwa na Kensuke Nagai, Dakika ya 14, Maya Yoshida, Dakika ya 79
na Yuko Otsu, Dakika ya 83.
Mechi
ilyofuatia, Mexico waliwachapa Senegal bao 4-2 katika Dakika 120 za mchezo
baada ya kutoka bao 2-2 katika Dakika 90.
Mechi
ya 3 ya Robo Fainali ilikuwa kati ya Brazil na Honduras na Brazil kuibuka
kidedea kwa ushindi wa bao 3-2 lakini walikuwa ni Honduras ambao mara mbili
walitangulia kufunga kwa kuanza na bao la Dakika ya 12 lililofungwa na
Martinez.
|
![]() |
Mohamed Farah wa Great Britain akishangilia baada ya kushinda medali ya dhahabu kwenye mbio za wanaume mita 10,000 katika mashindano ya Olimpiki 2012 kwenye uwanja wa Olympic, jijini London. |
![]() |
Gold medalist Tiki Gelana of Ethiopia rests at the finish line on The Mall after the Women's Marathon on Day 9 of the London 2012 Olympic Games. |
![]() |
Mechi
zao za Nusu Fainali zitachezwa Jumatatu Agosti 6.
NUSU
FAINALI
Jumatatu
Agosti 6
France
v Japan, Wembley (Saa 1 Usikui)
Canada
v USA, Manchester (Saa 3 Dak 45 Usiku)
|
No comments:
Post a Comment