![]() |
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mhe Erik Nkilamachumu pichani kushoto akikabidhi Vifaa vya Michezo kwa Wakuu wa Shule ya Sekondari Rhec na Bukiriro. |
![]() |
Mkuu wa Shule ya Sekondari Ntobeye akionesha Jezi baada ya Shule yake kukabidhiwa Jezi seti moja ya wavulana na wasichana pamoja na mipira miwili wa mchezo wa soka na netball. |
![]() |
Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Ngara mkoani Kagera Bw. Marton katikati akikabidhi Vifaa vya Michezo kwa Wakuu wa Shule ya Kabanga na Muyenzi leo hii August 2/2018. |

No comments:
Post a Comment