Picha za Ajali ya Basi la City Boy huko Makomero,Igunga Tabora. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, April 05, 2018

Picha za Ajali ya Basi la City Boy huko Makomero,Igunga Tabora.

Muonekano wa Basi la City Boy baada ya Ajali.

Ajali hii imetokeo usiku wa April 4, 2018 eneo la Makomero wilayani Igunga mkoani Tabora  na taarifa za awali zinaeleza kuwa Watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa.

Chanzo cha ajali kinatajwa kuwa ni Lori aina ya Fuso lililopoteza mwelekeo na kulifata Basi hilo la City Boy lililokuwa linatoka Wilayani Karagwe mkoani Kagera kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana uso kwa uso.

Tunaendelea kufuatilia zaidi.

 Lori aina ya Fuso lililopoteza mwelekeo na kulifata Basi hilo la City Boy lililokuwa linatoka Wilayani Karagwe mkoani Kagera kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana uso kwa uso.

Mabaki ya Basi la City Boy lililokuwa linatoka Wilayani Karagwe mkoani Kagera kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana uso kwa uso.

Tunaendelea kufuatilia zaidi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad