Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, December 10, 2019

Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  wakati wa Sherehe za  Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri zilizoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli Jumatatu December 9, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri  Jumatatu December 9, 2019.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad