Picha ya Soko Kuu Mjini Ngara mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, April 03, 2018

Picha ya Soko Kuu Mjini Ngara mkoani Kagera.


Wananchi na Wafanyabiashara wamekuwa wakikosoa kuhusu soko hilo halina hadhi kulingana na mahitaji ya Wananchi na mabadiliko ya hali ya hewa.

 Hapa chini ni Soko hilo kama linavyoonekana kwenye Picha.


Licha ya Halmashauri ya wilaya ya Ngara mkoani Kagera kushauriwa kutafuta fedha kupitia Vyanzo vyake vya Mapato ya ndani kuboresha Soko la mjini Ngara lenye matulubali yaliyochanika baada ya kuachwa na Wakimbizi raia wa Burundi mwaka 2006 bado soko hilo halijafanyiwa maboresho.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad