![]() |
|
Yanga SC ya Tanzania na Wolaitta Dicha SC ya Ethiopia
watacheza mchezo wao wa kwanza wa mtoano wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya
Kombe la Shirikisho Afrika jijini Dar es Salaam kati ya April 6-8,2018 hivyo
wachezaji hao hawaruhusiwi kutumika kutokana na kutumikia adhabu ya kadi za
njano.
|
Wednesday, April 04, 2018
CAF yaizuia Yanga SC kutowatumia Wachezaji hawa.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment