![]() |
|
Mchezaji Mohamed
Salah (kushoto) na wachezaji wenzake (kulia) wakifurahia moja ya bao lililofungwa kwenye
mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Jana Jumatano April 4,2018 dhidi ya Manchester
City Uwanja wa Anfield na Liverpool wamefanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-0, magoli ya Liverpool
yakifungwa na Mohamed Salah dakika ya 11, Chamberlain dakika ya
21 na Sadio Mane dakika ya 31.
![]()
Nao FC
Barcelona walipata matokeo mazuri wakiwa nyumbani Jijini Barcelona dhidi ya AS Roma.
![]() |
Thursday, April 05, 2018
Man City na Kibarua kigumu dhidi ya Liverpool katika uwanja wa Etihad.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.








No comments:
Post a Comment