Watu wawili wamekufa katika Ajali
nyingine iliyotokea leo March 17,2015 huko Mikumi , kati ya basi lenye namba za usajili T 179 CRG mali
ya Fm safari linalotoka Dar es Salaam kwenda Mbeya na roli aina ya Fuso.
Tutaendelea
kukujuza.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Tuesday, March 17, 2015
AJALI :-Watu wawili wamekufa baada ya basi kugonga na roli leo March 17, 2015.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment