Katika
mchezo mwingine Huko Sokoine, MBEYA City wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya
Stand United ya Shinyanga ,mchezo huo ukipigwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Mabao ya
Mbeya City inayodhaminiwa na kampuni ya Bin Slum Tyres Limited kupitia betri za
RB, yamefungwa na Yussuf Abdallah dakika ya 65 kwa penalti na Paul Nonga dakika
ya 75.
Ushindi huo
unaifanya Mbeya City ifikishe pointi 24 baada ya kucheza mechi 20, wakati Stand
inabaki na pointi zake 22 baada ya kucheza mechi 20 pia.
LIGI KUU VODACOM / RATIBA
Jumamosi Machi 21,2015.
Mgambo JKT v
Yanga SC
Kagera Sugar
v Mtibwa Sugar
Ndanda FC v
JKT Ruvu
Ruvu
Shooting v Simba SC
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Thursday, March 19, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Matokeo ya Mechi za Jana March 18, 2015 kwa Simba kugongwa Virungu na Mgambo, Yanga ikirejea kileleni.
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Matokeo ya Mechi za Jana March 18, 2015 kwa Simba kugongwa Virungu na Mgambo, Yanga ikirejea kileleni.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment