
Makada
waliotimkia Chadema kutoka Jimbo la Chato linalowakilishwa na Waziri wa Ujenzi,
Dk. John Magufuli, kwa nyakati tofauti, wanatoka katika Kijiji cha Muganza,
Kasenga, Busaka na Igando, Kata ya Bwera, ambako chama hicho kimefanya mikutano
ya hadhara.
Wana CCM hao
walidai wamekihama chama hicho kwa sababu wamechoshwa na mwenendo wa siasa
zake, walizodai zimechangia maisha ya wananchi kuwa magumu.
No comments:
Post a Comment