|
Donald Ngoma
akishangilia na Deus Kaseke baada ya kuifungia bao la kusawazisha Yanga leo,March
19,2016.
Kwenye
mchezo wa Leo, Yanga SC walianza vibaya kwa kupigwa Bao Dakika ya 4 tu lakini
Donald Ngoma akasawazisha Dakika ya 28 na kuwaingiza Raundi ya mwisho ya mtoano
ambayo watapambana na Mshindi kati ya Al Ahly ya Misiri au Recreativo de Libolo
ya Angola ambazo nazo Leo zinacheza Mechi ya Pili huko Borg El Arab Stadium
Mjini Alexandria Nchini Misri baada kutoka 0-0 huko Angola.
CAF
CHAMPIONS LEAGUE.
Raundi ya
Mtoano ya Timu 32 – Mechi za Pili
RATIBA/MATOKEO.
**Saa za
Bongo.
**Kwenye
Mabano Jumla ya Mabao kwa Mechi mbili
Cnaps Sports
– Madagascar 2 Wydad Athletic Club – Morocco 1 [3-6]
Vitalo FC –
Burundi 2 Enyimba International FC – Nigeria 1 [3-6]
Young
Africans – Tanzania 1 Armee Patriotique Rwandaise FC – Rwanda 1 [3-1]
**Kwenye
Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza
17:30 AC
Leopards de Dolisie – Congo v Mamelodi Sundowns - South Africa
18:30 ES
Sahel – Tunisia v Olympique Club De Khouribga – Morocco [1-1]
19:00 Al
Ahly – Egypt v Recreativo de Libolo - Angola [0-0]
21:00 El
Merreikh - Sudan v Warri Wolves – Nigeria [1-0]
18:00 Al Zamalek – Egypt v Union Sportive de
Douala - Cameroon |
No comments:
Post a Comment