Huko Azam
Complex, Chamazi, kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam, Azam FC walibanwa
mbavu na kutoka Sare ya na African Sports ya Tanga katika Mechi ya Ligi Kuu
Vodacom, VPL 2015/2016.
Sare hii
imetoa mwanya mkubwa kwa leo Mabingwa Watetezi Yanga SC kutwaa uongozi wa VPL
ikiwa wataifunga Ndanda FC kwenye Mechi itakayochezwa Uwanja wa Taifa Jijini
Dar es Salaam.
Azam FC sasa
wamecheza Mechi 14 na wana Pointi 36 wakati Yanga SC wana Pointi 33 kwa Mechi
13 lakini wako bora katika Magoli.
Kwenye Mechi
yao, Azam FC ndio walitangulia kwa Bao la Dakika ya 28 la Frank Domayo na
Sports kusawazisha Dakika ya 59 kupitia Hamad Mbumba.
Matokeo ya
michezo mingine iliyopigwa jana January 16,2016 kwenye viwanja vingine ni kama ifuatavyo:
JKT Ruvu 1 –
5 Mgambo JKT
Toto
Africans 0-1 Tanzania Prisons
Stand United
1-0 Kagera Sugar
Mbeya City
1-0 Mwadui FC
Coastal
Union 1-1 Maji Maji FC
|
LIGI KUU VODACOM TANZANIA BARA 2015/2016. Msimamo-Timu za Juu.
Ratiba
Jumapili Januari 17,2016.
Yanga SC v
Ndanda FC
|
No comments:
Post a Comment