![]() |
Baada ya
Muda wa miezi sita tangu Bw.Antony afanyiwe upasuaji, alirudi katika hospitali
ya Nyakahanga na kuambiwa madakitali
waliomfanyia upasuaji walishaondoka hospitalini hapo na kumrufaa katika
hospitali ya Bugando ambapo kuna madakitari wa kuweza kurudisha sehemu ya haja
kubwa katika sehemu yake.
Bw Antony
baada ya kufika katika hospitali ya Bugando ambapo aliambiwa alipe kiasi cha fedha shilingi laki saba ili kuweza kurudisha
sehemu ya haja kubwa katika sehemu yake.
Kwa yeyote
atakaye guswa anaweza kuwasiliana na Bw.
Antony Eustace AU KUMTUMIA MCHANGO WAKO KUPITIA NAMBA +255743022789 / +255789627789….
KUTOA NI MOYO.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii,
Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha
kwa WhatsApp +255789925630 .
|
Sunday, January 17, 2016

Home
HABARI
MATUKIO
(KUMRADHI KWA PICHA):-Msaada wa Wasamaria wema wa Matibabu Unahitajika kwa Kaka huyu.
(KUMRADHI KWA PICHA):-Msaada wa Wasamaria wema wa Matibabu Unahitajika kwa Kaka huyu.
Tags
# HABARI
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment