Jumuiya ya
Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) imetimiza lengo lake juu ya
Maandamano hayo yaolifanyika siku ya Ijumaa tarehe 18/12/2015 kwenye viunga vya
Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York
yalianza asubuhi mapema ya saa
nne asubuhi (10:00 AM) hadi saa sita mchana (12:00 PM) lengo kushinikiza
kumaliza mchakato wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu
uliofanyika huko nyumbani Zanzibar tarehe 25/10/2015.TAZAMA PICHA ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA. |
Post Top Ad
Monday, December 21, 2015

Home
MATUKIO
SIASA
TAZAMA PICHA HAPA:-Maandamano ya Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yamefana, Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York.
TAZAMA PICHA HAPA:-Maandamano ya Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yamefana, Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York.
Tags
# MATUKIO
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
Makala Inayofuata
AJALI / PICHA:-Ajali ya basi igunga Mtu mmoja afariki, 38 wajeruhiwa.
Makala Iliyopita
UMOJA NA UPENDO:-Taswira Picha washindi wa Kamati za Kudhibiti UKIMWI Pangani wapata Zawadi.
Uwekezaji Kazingati Ngara Wazua Mgogoro Kati ya Wananchi na Viongozi wa Kisiasa.
AnonymousJan 03, 2019Rais Dkt. John Magufuli Ametimiza Ahadi kwa JWTZ Kuhusu Ufugaji wa Samaki Mkoani Mara.
AnonymousSept 11, 2018Rais Magufuli Alivyompigia Simu Waziri Lukuvi na Kumtaka amsimamishe Kazi Kamishina wa Ardhi.
AnonymousSept 05, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment