Mabingwa wa Ligi Kuu ya
Vodacom Tanzania Bara, Azam FC wamepunguzwa kasi baada ya kulazimishwa sare ya
bila kufungana na Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya leo Oktabo
04,2014.
Kwa sare hiyo, Azam FC
inatimiza pointi saba baada ya kucheza mechi tatu na kushinda mbili- hivyo
kuendelea kuongoza Ligi Kuu, ikifuatiwa na Mtibwa Sugar yenye pointi sita.
Mtibwa Sugar watacheza kesho Oktoba
05,2014 na Mgambo JKT ya Tanga Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro mchezo
ambao wakishinda watapaa kileleni.
Simba SC 1-1 Stand Utd
Coastal Unioni 2-1 Ndanda FC
Polisi 1-1 Kagera Sugar
Prisons 0-0 Azam FC
Ruvu Shoot 0-0 Mbeya City
Kesho-Oktoba 05,2014.
Yanga SC Vs JKT Ruvu
Mtibwa Sugar Vs Mgambo
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp
![]() |
Saturday, October 04, 2014

Home
MICHEZO
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Tazama Stand United ilivyoisimamisha Simba SC Taifa Leo Oktoba 04,2014.
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Tazama Stand United ilivyoisimamisha Simba SC Taifa Leo Oktoba 04,2014.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment