Hapa ndipo wana matembezi walipomalizia matembezi yao ya km 29 katika Hotel ya Tumaini Letu-Mjini Kabanga.
|
Pamoja na mambo mengine wanamatembezi walipata kufahamiana kwa kujitambulisha kisha kunywa ,kula na kucheza muziki ikiwa ni ishara ya kufurahi pamoja.
|
Chears pia ziligongwa .........
|
Mmiliki wa Blog hii ya (mwanawamakonda) nae hakuwa nyuma katika matembezi hayo ya hisani ya km 29 katika kuhamasisha Amani,Usalama,Maendeleo na Mshikamano.
|
Wanamatembezi wakipata chakula ndani ya ukumbi wa nje wa Hotel ya Tumaini Letu...........
|
Muziki ulifunguliwa........kisha wanamatembezi wakaanza kuyarudi masebene na kusahau umbali wa km 29 walizotembea toka
Ofisi za Radio Kwizera Mjini Ngara hadi Kabanga.
|
No comments:
Post a Comment