Ni muonekano wa basi la Kangibomba (Namba za usajili hazikujulikana haraka) mali ya mbunge wa jimbo la
mwibara Kangi Lugora jinsi lilivyoteketea kwa moto mjini Bunda Mkoani Mara.
Basi hilo limeungua
wakati mafundi wakichomelea baadhi ya vitu….Picha Na kwa Hisani ya Mdau :
Johnson Matinde Valeron.
|
Friday, July 26, 2013
Home
MATUKIO
Tazama picha 3 za basi la Kangibomba mali ya Mbunge wa Jimbo la Mwibara Kangi Lugora jinsi lilivyoteketea kwa moto mjini Bunda
Tazama picha 3 za basi la Kangibomba mali ya Mbunge wa Jimbo la Mwibara Kangi Lugora jinsi lilivyoteketea kwa moto mjini Bunda
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment