Baadhi ya Muonekano wa sehemu ya uwanja wa ndege wa Bukoba.
|
Rais Kikwete akisalimiana na Baba
Askofu Kilaini alipowasili uwanja wa ndege wa Bukoba leo (Julai 24,2013) kuanza
ziara Mkoani Kagera na Kushiriki Siku ya Mashujaa Kitaifa Mkoani humo.
|
Hapa Rais Kikwete akihutubia wananchi baada ya kuzindua jengo la cha acha
ushirika Kagera KCU.
|
Ni picha ya pamoja na viongozi wa ushirika
nyuma jengo hilo lililozinduliwa linaonekana kwa mbali.
|
No comments:
Post a Comment