|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na maofisa waandamizi wa Wizara ya
pamoja na wajumbe wa Chama cha Makampuni ya Simu za mkononi
alipokutana nao kwa mazungumzo Ikulu
jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
|
|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bi Beatrice Singano, mmoja wa wajumbe wa
Chama cha Makampuni ya Simu za mkononi alipokutana nao kwa mazungumzo
Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
|
|
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akitambulishwa kwa wajumbe wa Chama cha Makampuni ya Simu za mkononi na
Bw. Manoj Kohli wa Airtel ambaye pia ni Mkurugenzi wa Pamoja wa chama hicho
alipokutana nao kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
PICHA NA IKULU.
|
Rais
wa Tanzania Dr.Kikwete ametoa agizo mamlaka zote husika zikae chini kutatua
haraka mzozo wa kodi ya Sim Card ili kumaliza malalamiko ya wananchi.
Rais
Kikwete ametoa agizo hilo jioni(Julai 23,2013) hii alipokutana na viongozi wa
wizara ya fedha, sayansi mawasiliano na teknolojia, TCRA na wawakilishi wa
makampuni yote ya simu Tanzania.
Lengo ilikuwa kujadili mzozo huo.
No comments:
Post a Comment