VIDEO: Bw Uhuru Kenyatta apishwa rasmi kuwa Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Kenya na kuwataka wananchi wa taifa hilo kuungana pamoja ili kuchochea maendeleo. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Wednesday, April 10, 2013

demo-image

VIDEO: Bw Uhuru Kenyatta apishwa rasmi kuwa Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Kenya na kuwataka wananchi wa taifa hilo kuungana pamoja ili kuchochea maendeleo.

.com/simgad/

547497_10151195583982609_1581134814_n

Rais mpya wa awamu ya nne nchini Kenya,Bw. Uhuru Kenyatta akiwapungia maelfu ya watu waliofika kushuhudia kuapishwa kwake, mapema leo (April 09,2013) kwenye sherehe iliyofanyika kwenye uwanja wa Kasarani,jijini Nairobi Sherehe hizo zimehudhuriwa na Marais kutoka nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Jakaya Mrisho Kikwete,Mabalozi na watu wengine mbalimbali.

64844_10151195579017609_1383596097_n

Rais mpya wa awamu ya nne nchini Kenya,Bw. Uhuru Kenyatta akisoma hotuba yake mbele ya maelfu ya watu waliofika kushuhudia kuapishwa kwake, mapema leo kwenye sherehe iliyofanyika ndani ya uwanja wa Kasarani,Sherehe hizo zimehudhuriwa na Marais wa nchi mbalimbali.
164287_10151195580187609_1571565168_n

Rais Uhuru Kenyatta akila kiapo cha Urais,kuwa rais wa awamu ya nne nchini Kenya,kwenye sherehe zilizofana kwa kiasi kikubwa ndani ya uwanja wa kasalani.
529085_10151195578917609_1205076097_n

Rais Uhuru Kenyatta akisalimiana na Makamu wake William Ruto.


Bw. Uhuru Kenyatta amewataka wananchi wa taifa hilo kuunganisha mawazo yao kwa ajili ya kukabiliana na changamoto zinazowakabili ili kuchochea maendeleo.




524443_10151195579592609_804760154_n
Akitoa hatuba yake ya kwanza  baada ya kuapishwa katika uwanja wa Kasarani mjini Nairobi kwa ajili ya kuanza rasmi majukumu yake na makamu wake Bw.William Ruto,Rais Kenyatta amesema kuwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi ulioupa ushindi muungano wa Jubilee, kila Mkenya anapaswa kulitumikia taifa lake kwa nafasi yake ili kuharakisha maendeleo.





Aidha amewataka wapinzani wake katika uchaguzi uliopita kuungana naye kufanya kazi kwa ajili ya Wakenya ili kuboresha hali za maisha ya wananchi wao na kwamba hatapuuza ushauri kutoka kwa kiongozi yeyote waliyechuana naye katika uchaguzi huo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *