![]() |
|
Muonekano
wa Basi la City Boy baada ya Ajali.
|
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, John Mwaipopo, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa ajali hiyo imesababisha majeruhi 46 ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya hiyo ya Igunga na wengine watano wamepewa rufaa ya kwenda kutibiwa Hospitali ya Rufaa Bugando. |







No comments:
Post a Comment