|
Madaktari wa Hospitali ya Mission Rulenge wakiendelea na Matibabu kwa Majeruhi.
Kamanga wa
Jeshi la Polosi mkoani Kagera Agustino Olomi amesema chanzo cha wanafunzi hao
kujeruhiwa kwa bomu ni zoezi la kuuza vyuma chakavu ambapo mwanafunzi
aliliokota na kuja nalo shuleni ili alipeleke kwa mnunuzi na kupewa madaftari.
Hata hivyo
Kamanda wa Kikosi cha Kulinda mipaka cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ
wilaya ya Ngara ,Meja TR Mutaguzwa amesema Bomu hilo lilikuwa na vipande 36 na
lingelipukia ndani ya darasa wangeleta athari zaidi .
Taarifa
zaidi zinafuata
|
No comments:
Post a Comment