Akiongea na
mwandishi wetu alisema amejikita katika kilimo cha bustani ya matunda na
mbogamboga na ufugaji wa samaki na kuku kuongeza kipato kwake na familia
lakini akilenga kukusanya fedha zitakazotumika kwenye kampeni mwaka 2020
atakapokuwa amejipanga kubainisha changamoto za wananchi baada ya kutathimini
uwakilishi wa diwani aliyepo wa CCM Emanuel Tagota.
|
Alisema
kilimo cha bustani na ufugaji unamsaidia kupata fedha za kununua dawa za kuulia
wadudu wanaoshambulia mazao mbalimbali lakini hata kununua chakula cha mifugo
na dawa za magonjwa ya kuku ambapo kila wiki hukusanya tey 40 za mayai huku
akiuza matikiti maji na nyanya kwa kuingiza Sh2.3 kwa mwezi.
Picha na
Shaaban Ndyamukama.
|
No comments:
Post a Comment