Timu ya Arsenal
imeimarisha matumaini yao ya kutaka kuwa katika timu nne bora katika msimamo wa
Ligi kuu ya Uingereza kufuatia ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Southampton.
|
Mabao hayo
yalifungwa na Alexi Sanchez na Olivier Giroud huku Southampton
hawakufanya mashambulizi mengi katika safu ya ulinzi ya Arsenal.
|
Ushindi huo
unamaanisha kwamba Arsenal imepanda juu ya Manchester United katika nafasi ya 5
,alama tatu nyuma ya Manchester City.
Msimamo wa EPL.
|
Baada ya
kipindi cha kwanza kilichokosa mchezo mzuri Sanchez Pichani aliwashangaza wengi baada
ya kuwachenga walinzi wa Southampton na kisha kucheka na wavu.
EPL
itaendelea kesho Ijumaa kwa Mechi mbili ambazo Everton itacheza na Watford na
Vinara Chelsea kuwa Ugenini huko The Hawthorns wakihitaji kuifunga tu West
Bromwich Albion ili kutwaa Ubingwa wakiwa na Mechi moja mkononi.
EPL - LIGI
KUU ENGLAND 2016/2017.
Ijumaa Mei
12,2017.
2145 Everton
v Watford
2200 West
Bromwich Albion v Chelsea
Jumamosi Mei
13,2017.
1430
Manchester City v Leicester City
1700
Bournemouth v Burnley
1700
Middlesbrough v Southampton
1700
Sunderland v Swansea City
1930 Stoke
City v Arsenal
Jumapili Mei
14,2017.
1400 Crystal
Palace v Hull City
1615 West
Ham United v Liverpool
1830
Tottenham Hotspur v Manchester United
|
No comments:
Post a Comment