Mohamed
Fakhi picha hii ni wakati akiwa mchezaji wa Simba SC.
Kamati
imejiridhisha kuwa mchezaji Mohamed Fakhi alioneshwa kadi za njano katika
mchezo dhidi ya Majimaji, Mbeya City na African Lyon, hivyo hakustahili kucheza
katika mchezo dhidi ya Simba uliyochezwa April 2 2017 uwanja wa Kaitaba na
Simba ikapoteza kwa magoli 2-1.
Katika kikao
chake awali Ijumaa iliyopita, Kamati baada ya kupitia malalamiko hayo,
iliahirisha shauri hilo hadi leo kujipa muda wa kufuatilia baadhi ya vielelezo
kuhusu malalamiko hayo.
|
Friday, April 14, 2017
Kamati ya masaa 72:Yaipa Simba SC Pointi 3 za Kagera Sugar.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment