Mashuhuda
wanaeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo iliyotokea usiku wa jana saa tatu ni power
tiller kukosa reflecters strips akiwa anajaribu kuikwepa maana hakuiona kwa
mbali akahama upande wa pili wa barabara ndipo akawa yupo katikati akapigwa na Lori ( truck
) upande wa kulia na kushoto akaburuzwa na power tiller.
|
Mungu
awalaze mahala pema peponi amen.
Habari/Picha kwa hisani ya RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors)
|
No comments:
Post a Comment