Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi, Nape Nnauye akimpa maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya
mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano
Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Jumamosi , Julai 23, 2016.
Kulia ni Msemaji Mkuu wa CCM,
Christopher Ole Sendeka.
|
Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na
baadhi ya viongozi wakitazama paa la Ukumbi, Kinana alipokagua ukumbi wa
mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo
Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM
utakaofanyika Jumamosi ,Julai 23, 2016.
|
Katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana akiwa na Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka kwenye
banda la Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na
Burudani, alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje
kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya
Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Jumamosi ,Julai 23, 2016.
|
Kinana akiwa kwenye
banda hilo la Uhuru.
|
Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana, akijadilijambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab
Luhwavi, alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje
kidogo ya mji wa Dodoma, Jana, Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya
Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Jumamosi ,Julai 23, 2016.
Katikati ni Msemaji wa
CCM Christopher Ole Sendeka.
|
Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akijadili jambo na Naibu Katibu Mkuu wa
CCM-Bara, Rajab Luhwavi, baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
(kushoto kukagua ukumbi huo.
|
Msemaji Mkuu wa CCM,
Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza,
Anthony Diallo, baada ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wapili kulia),
kukagua ukumbi huo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi.
Picha na Bashir
Nkoromo.
|
No comments:
Post a Comment