Wenyewe hawakuwa na
lingine ila kuvumilia harufu mbaya kwa majuma 3
Walimkata kata katika
vipande vitatu lakini hata hivyo vilikuwa vizito mno kwa trekta za ujenzi.
Mwishowe waliagiza
trekta kubwa zaidi yenye uwezo wa kunyanyua tani 10 ya mzoga huo unaovunda na
kuibwaga baharini.
Wenyeji bado wanapata
harufu mbaya majumbani mwao lakini wanaona kheri ikiwa mbali .BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI/KUTAZAMA PICHA
|
Wednesday, July 20, 2016
TAZAMA PICHA:-Mzoga wa Nyangumi wa tani 22 !
Tags
# HABARI
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment