![]() |
|
Jana,January 7, 2016 Tanzania iliandika historia katika medali ya soka Afrika na duniani baada ya
mshambuliaji Mtanzania anakipiga katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samatta
kushinda tuzo ya Mwanasoka bora wa Afrika,2015 kwa wachezaji wanaocheza Afrika.
Mbwana Samatta
alitangazwa mshindi huko Abuja, Nigeria katika tuzo zilizowashirikisha mastaa
mbalimbali wa soka Afrika.
Furaha ya
Watanzania pia imemgusa Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli ambaye ametuma
pongezi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye.
Katika
taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa,
Rais amemtaka Waziri Nape amfikishie salamu za pongezi mchezaji huyo na pia
tuzo hiyo imemjengea heshima kubwa na kuleta heshima kwa wachezaji wa Tanzania.
Taarifa hiyo
ilisomeka hivi..
|
![]() |
| Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp . |







No comments:
Post a Comment