|
Tuzo hizo za
kila mwaka zinazotolewa na Shirikisho la soka barani Afrika CAF ,zimetolewa
usiku wa kuamkia Ijumaa January 8, 2016,mjini Abuja nchini Nigeria.
Timu bora
kwa wanaume kwa mwaka uliopita ni kutoka Ivory Coast.
Kwa upande
wa timu ya wanawake ya mwaka tuzo imekwenda kwa timu ya Cameroon.
Kocha bora
wa mwaka ni – Herve Renard, kutoka Ivory Coast, tuzo ambayo ameishinda kwa
mwaka wa pili mfululizo.
Klabu bora
ya soka barani Afrika ni TP Mazembe, kutoka DR Congo.
Mwanasoka
bora wa kike Afrika ni Gaelle Enganamouit kutoka Cameroon.
Mwamuzi bora
wa mwaka ni Bakary Gassama kutoka nchini Gambia.
Tuzo hizo
zilipambwa na shamra shamra za kila aina kutoka kwa wasanii maarufu pamoja na
wanenguaji walitumbuiza akiwemo mwanamuziki nguli kutoka nchini Mali, Salif
Keita pamoja na mwanamuziki kutoka Nigeria Omowumi.
KIKOSI BORA
AFRIKA
Kipa: Robert
Muteba KIDIABA (DRC)
Mabeki:
Serge AURIER (Ivory Coast), Aymen ABDENNOUR (Tunisia), Mohamed MEFTAH (Algeria)
Viungo:
Andre AYEW (Ghana), Yaya TOURE (Ivory Coast), Sadio MANE (Senegal), Yacine
BRAHIMI (Algeria),
Washambuliaji:
Mbwana Aly SAMATTA (Tanzania), Pierre-Emerrick AUBAMEYANG (Gabon), Baghdad
BOUNEDJAH (Algeria)
WACHEZAJI WA
AKIBA
Djigui
DIARRA (Mali)
Azubuike
OKECHUKWU (Nigeria)
Kelechi
NWAKALI (Nigeria)
Zinedine
FERHAT (Algeria)
Adama TRAORE
(Mali)
Victor
OSIMHEN (Nigeria)
Kermit
ERASMUS (Afrika Kusini)
LAST 10
WINNERS
2005: Samuel
Eto'o, Barcelona
2006: Didier
Drogba, Chelsea
2007:
Frederic Kanoute, Sevilla
2008:
Emmanuel Adebayor, Arsenal
2009: Didier
Drogba, Chelsea
2010: Samuel
Eto'o, Inter Milan
2011: Yaya
Toure, Manchester City
2012: Yaya
Toure, Manchester City
2013: Yaya
Toure, Manchester City
2014: Yaya
Toure, Manchester City
2015:
Pierre-Emerick Aubameyang, Borussia Dortmund
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp .
|
No comments:
Post a Comment