![]() |
|
Aina ya Taa
zilizokuwa nje kabisa ya kiwanja cha
ndege cha Karume Pemba ambazo hutoa
ishara kwa Kepteni anayeongoza Ndege ikitua,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi mbali mbali
aliofuatana nao walijionea taa hizo
namna zilivyofungwa katika utaratibu
maalum wakati uzinduzi wa Taa za
kuongozea Ndege kwenye kiwanja cha ndege cha Pemba uliofanyika jana ikiwa ni
katika maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
|
![]() |
|
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)
akifungua pazia kama iskara ya Uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika
kiwanja cha Ndege cha Karume Pemba jana ikiwa ni katika sherehe za shamra
shamra za maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto)
Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi(GAVU).
|
![]() |
|
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)
akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya Ngege Zanzibar
Kepten Saidi Iddi Ndumbugani, kuhusu
majenereta yanayotoa umeme baada ya kuzindua rasmi Taa za kuongozea Ndege kwenye kiwanja cha
ndege cha Pemba jana ikiwa ni katika maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar.
|









No comments:
Post a Comment