![]() |
Moja ya
Mradi Mkubwa unaotekelezwa na Kampuni ya Hi Gen katika halmashauri ya Ushetu
mkoani Shinyang’a na hili ni Daraja ambalo limegalimu zaidi ya shilingi milioni
400.
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkD6bOYqRHhOzlfV-AtItafpY6g6NLS4MyxYfeTHtsiQixBRDUFBIAs-4aN_Qcol7FGxHsI83Q3pCZeZRxZSUYqpFhwl9uvMnObT60sq8Yz98vdCZ70AlyVlaHcFkXxt8xwh5bsfijgDfg/s640/38647458_235316713787601_1564307014249611264_n.jpg)
![]() |
Daraja hili
lenye urefu wa mita 58.8 kukamilika kwake litaunganisha kata mbili za Burungwa
na Ushetu wilayani Kahama ambazo zilikuwa hazina mawasiliano wakati wa masika
na kusababisha eneo hilo kujaa maji mengi hivyo shughuli za kimaendeleo
kukwama.
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqkzW_Pr_6PHnDWhIKtA9ehIiQ6pc7JM1HwvV1xrJAtvUyekczSca51_HKYFTxeY1INlBLR-t3aZL129r4Uqy8cSxOjAx79glB82meh4-6Lv7ZnKtaVLJGclB0AdA1RQ7Bjh-15D5zKqJ4/s640/38757693_659063097826242_4381418334764138496_n.jpg)
Picha Na –RK Kahama.
No comments:
Post a Comment