Taswira ya Ujenzi wa Daraja la Ushetu -Kahama. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, August 07, 2018

demo-image

Taswira ya Ujenzi wa Daraja la Ushetu -Kahama.

.com/simgad/
38705710_298926220875678_2102152437149204480_n
Moja ya Mradi Mkubwa unaotekelezwa na Kampuni ya Hi Gen katika halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyang’a na hili ni Daraja ambalo limegalimu zaidi ya shilingi milioni 400.
38647458_235316713787601_1564307014249611264_n
38686057_520905515022466_5890005415432814592_n
Daraja hili lenye urefu wa mita 58.8 kukamilika kwake litaunganisha kata mbili za Burungwa na Ushetu wilayani Kahama ambazo zilikuwa hazina mawasiliano wakati wa masika na kusababisha eneo hilo kujaa maji mengi hivyo shughuli za kimaendeleo kukwama.
38757693_659063097826242_4381418334764138496_n 

Picha Na  –RK Kahama.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *