RC Kagera azindua Uwanja wa Kisasa Shule ya Msingi Mgeza Viziwi Bukoba. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Friday, July 06, 2018

demo-image

RC Kagera azindua Uwanja wa Kisasa Shule ya Msingi Mgeza Viziwi Bukoba.

.com/simgad/
36625046_1927866670586567_1612708035795353600_n
Picha mbalimbali  wakati wa uzinduzi wa uwanja wa kisasa wa michezo katika Shule ya Msingi Mgeza Viziwi iliyoko Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera Jana July 5, 2018 ambapo Uwanja huo utatumika kwa michezo Minne ya  mpira wa pete, mikono, kikapu na wavu kutokana na kuwepo kwa vifaa vya kuhamishika. 
Uwanja huu umejengwa na walimu wawili wa muda raia wa ujerumani waliokuwepo shuleni hapo kwa kipindi cha mwaka , Wameamua kujenga uwanja huo kama kumbukumbu yao kwa taasisi ya Mugeza Viziwi. 

Uzinduzi wa uwanja huo umefanywa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo.

Picha Na-RK FM.
 36630711_1927866660586568_4648805466556596224_n
 36662259_1927866523919915_3740569112091295744_n
Uwanja huo utatumika kwa michezo Minne ya  mpira wa pete, mikono, kikapu na wavu kutokana na kuwepo kwa vifaa vya kuhamishika. 

Uwanja huu umejengwa na walimu wawili wa muda raia wa ujerumani waliokuwepo shuleni hapo kwa kipindi cha mwaka , Wameamua kujenga uwanja huo kama kumbukumbu yao kwa taasisi ya Mugeza Viziwi. 
  36698429_1927866817253219_5797518508803751936_n
Picha mbalimbali  wakati wa Uzinduzi wa uwanja huo ambao Umefanywa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo.
 36680549_1927866733919894_6544276883352059904_n
 36650857_1927866507253250_8306342235067121664_n

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *