Aidha gari
hilo lilikuwa na tela lake lenye namba za usajili T.898 DDL ambalo pia lilijaa
kreti za bia vyote kwa pamoja vilipinduka kutokana na uzito wa mzigo ambapo
kiwango cha tani hakikutajwa.
|
Askari wa Jeshi la Polisi wamekutwa eneo la tukio wakilinda Usalama wa Mali hiyo na Dereva wakiwasiliana na mmiliki wa hilo gari kuweza kupata sulihisho la safari iliyoishia katika daraja la barabara ya Kyaka kwenda Karagwe. |
No comments:
Post a Comment