![]() |
Bibi
huyu anaishi na wajukuu zake wa 3 na
amekuwa akihangaika kuwatafutia chakula wajukuu zake kwa kufanya kazi za
vibarua kwenye makazi ya watu.
Anaililia Serikali , Wadau na Jamii kumsaidia japo akajengewa Nyumba yenye chumba kimoja na mtu wa kuwanunulia sare na vifaa vya shule Wajukuu zake ili wapate kusoma.
Na- RK Bukoba.
|
Post Top Ad
Tuesday, July 31, 2018

Bi.Salaiya Selemani wa Mtaa Buyekera,Mwathirika la Tetemeko la Ardhi Bakoba.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
Makala Inayofuata
Dk. Kigwangalla – Serikali kukuza Utalii Kupitia Mchezo wa Golf.
Makala Iliyopita
Biharamulo yaongoza Kwa Kupata Nyota Nne Utoaji wa Huduma Bora za Afya Mkoani Kagera.
Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
AnonymousDec 10, 2019Viongozi Wilayani Kasulu watakiwa Kuimarisha Usalama Katika Korongo la Bolelo.
AnonymousJun 29, 2019Shirika la Ndege la Tanzania Laanza Safari za Afrika Kusini Leo 28/06/2019.
AnonymousJun 28, 2019
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment