![]() |
Bibi
huyu anaishi na wajukuu zake wa 3 na
amekuwa akihangaika kuwatafutia chakula wajukuu zake kwa kufanya kazi za
vibarua kwenye makazi ya watu.
Anaililia Serikali , Wadau na Jamii kumsaidia japo akajengewa Nyumba yenye chumba kimoja na mtu wa kuwanunulia sare na vifaa vya shule Wajukuu zake ili wapate kusoma.
Na- RK Bukoba.
|
Tuesday, July 31, 2018

Bi.Salaiya Selemani wa Mtaa Buyekera,Mwathirika la Tetemeko la Ardhi Bakoba.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment