Bi.Salaiya Selemani wa Mtaa Buyekera,Mwathirika la Tetemeko la Ardhi Bakoba. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, July 31, 2018

demo-image

Bi.Salaiya Selemani wa Mtaa Buyekera,Mwathirika la Tetemeko la Ardhi Bakoba.

.com/simgad/
38168698_2139084216356337_1241584825190580224_o
Bi.Salaiya Selemani ni mkazi wa mtaa Buyekera Kata Bakoba Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, anaishi kwenye Kibanda ( PICHANI )alichojengewa baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kuangushwa na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani humo September 10,2016.
38036791_2139084156356343_5277458532591992832_o

37989607_2139084106356348_8689262363624341504_o
Bibi huyu  anaishi na wajukuu zake wa 3 na amekuwa akihangaika kuwatafutia chakula wajukuu zake kwa kufanya kazi za vibarua kwenye makazi ya watu.

Anaililia Serikali , Wadau na Jamii kumsaidia japo akajengewa Nyumba yenye chumba kimoja na mtu wa kuwanunulia sare na vifaa vya shule Wajukuu zake ili wapate kusoma.


Na- RK Bukoba.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *