Taswira -Daraja lakatika na Wanafunzi Kushindwa Kuvuka. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, May 15, 2018

demo-image

Taswira -Daraja lakatika na Wanafunzi Kushindwa Kuvuka.

.com/simgad/
31599830_1861519313887970_1937989252268687360_n
32620877_1861519287221306_499609270388523008_n
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya msingi Bugara iliyopo Kata ya Rulanda wilayani Muleba  mkoani Kagera wameshindwa kuhudhuria masomo yao shuleni hapo baada  ya  daraja liliokuwepo la muda kusombwa na maji.

 32532356_1861519320554636_3948298950573817856_n

32686167_1861519290554639_2928272233845489664_n
Mwalimu mkuu wa shule hiyo Bw. Rwezahura Renard amesema kuwa mvua hiyo imeanza  kunyesha majira ya usiku wa kuamkia leo May 15, 2018 hivyo wameomba Mamlaka husika kuwatengenezea daraja hilo Ili kurejesha mawasiliano na Wanafunzi waendelee kupata masomo yao.
31599830_1861519313887970_1937989252268687360_n%25281%2529
Kwa upande wake Diwani  wa Kata hiyo Bw. Evart Ernest amesema kuwa amelitolea taarifa kwa Mamlaka husika hivyo mpaka sasa bado utekelezaji wake na kwamba jitihada za haraka zinahitajika ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza kwa Wanafunzi wanaotukia kivuko hicho.
31599830_1861519313887970_1937989252268687360_n
Habari/Picha Na –Radio Kwizera.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *