Wa Mama wa Shirika la Kitawa Afrika wakumbushana Maisha ya Kiroho na Sala za Kiinyasiana. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, April 30, 2018

Wa Mama wa Shirika la Kitawa Afrika wakumbushana Maisha ya Kiroho na Sala za Kiinyasiana.

Wa Mama Wakuu wa Mashirika ya Kitawa Afrika yaliyoanzishwa na Wamisionari wa Mama yetu wa Afrika (MSOLWA) baada ya siku mbili za semina juu ya Maisha ya kiroho na sala za kiinyasiana (mt. Inyasi wa Loyola). Kiongozi wa Semina hiyo alikuwa Pd Damas Missanga, S.J.

Masista hao waliokutana Kurasini Jijini Dar Es Salaam  walikuwa na lengo la kujikumbusha msingi wa karisma na majiundo sala na roho ya nashirika yao ambayo yamejikita katika roho ya sala ya kiinyasiana. 

Semina hiyo ilikumbushia na kuchochea roho sala za tafakari moyo (meditation), sala za uchunguzi dhamiri/Fahamu (examination of conscious) na utambuzi wa roho (discernment of spirits). 

WaMama walipata nafashi ya kushirikisha jinsi kila shirika linavyoishi roho hii na kukiwekea malengo ya kutilia mkazo pale ambapo wamegundua kulegea ili kuamsha tena roho ya sala ya kiinyasiana katika maisha yao.

 Kiongozi wa Semina hiyo alikuwa Pd Damas Missanga, S.J.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad