![]() |
Kwa matokeo hayo sasa timu hizo mbili zinatarajiwa kukutana tena mchezo
wa marudiano baada ya wiki moja huko Shelisheli.
Hapo kesho Jumapili,February 11, 2018, Simba SC watacheza mechi ya
kimataifa dhidi ya Gendermerie kutoka Djibouti katika mechi ya kwanza Kombe la
Shirikisho ambao utapigwa kwenye Uwanja wa Taifa.
|

No comments:
Post a Comment