Rais Magufuli Ateua Kamishna wa Polisi Zanzibar. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, February 10, 2018

Rais Magufuli Ateua Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Dkt. John Pombe Magufuli.

Taarifa kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo February 10, 2018 amempandisha cheo na kumteua Mohamed Hassan Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi amesema kuwa Rais Magufuli amempandisha cheo Mohamed Hassan Haji kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) na kuwa Kamishna wa Polisi (CP), na kisha kumteua kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

TAARIFA ZAIDI SOMA HAPA CHINI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad