Mbunge wa Mikumi Mjini,
Joseph Haule maarufu kama Professor Jay.
Professor Jay akithibitisha taarifa hizo kupitia
kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii amesema zoezi hilo limefanyika wakati
yeye akiwa jimboni kwake na mbaya zaidi hakupewa taarifa na zoezi hilo
limeendeshwa jioni ambapo sio muda wa kazi kiserikali.
Hapa Chini Soma
alichokiandika Instagram baada ya zoezi hilo.
|
No comments:
Post a Comment