![]() |
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akiongoza maofisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jana Ijumaa jijini Dar es Salaam katika mazoezi ya pamoja.IGP Sirro, amewahimiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote Nchini Tanzania kuhakikisha wanafanya mazoezi ya pamoja ili kuendelea kuboresha Afya za Maofisa na Askari.Picha na Jeshi la Polisi. |
Sunday, October 01, 2017
Agizo la IGP Simon Sirro kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa kufanya Mazoezi ya Pamoja.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment