
![]() |
Kundi A lina
timu za Simba SC ya Dar es Salaam, Taifa ya Jang’ombe, Jang’ombe Boys, KVZ na
Mabingwa Watetezi, URA ya Uganda.
Kundi B lina
Timu za Yanga SC, Azam FC, Jamhuri na Zimamoto.
|
![]() |
January 01,2017,
Mabingwa Watetezi, URA watacheza na KVZ kuanzia Saa 10 Jioni na baadae Simba SC
kumenyana na Taifa ya Jang'ombe Saa 2 na Nusu Usiku.
Mechi za
Kundi B zitaanza Januari 02,2017, kwa Azam FC kucheza na Zimamoto kuanzia Saa
10 Jioni kisha Yanga SC kuivaa Jamhuri Saa 2 na Nusu Usiku.
KOMBE LA MAPINDUZI 2017.
Ratiba/Matokeo.
Desemba 30, 2016
Taifa
Jang'ombe 1 – 0 Jang'ombe Boys
Januari 01, 2017
KVZ VS URA
(Saa 10:00 jioni)
Simba vs
Taifa Jang'ombe (Saa 2:30 usiku)
Januari 02, 2017
Yanga vs
Jamhuri (Saa 2:30 usiku)
Januari 03, 2017
Jang'ombe
Boys vs URA (Saa 10:00 jioni)
KVZ vs Simba
(Saa 2:30 usiku)
Januari 04, 2017
Zimamoto vs
Yanga (Saa 10:00 jioni)
Jamhuri vs
Azam saa 2:30 usiku.
KVZ vs
Jang'ombe Boys (Saa 10:00 jioni)
Simba vs URA
(Saa 2:30 usiku)
Januari 06, 2017
Taifa
Jang'ombe vs KVZ (Saa 2:30 usiku)
Januari 07, 2017
Jamhuri vs
Zimamoto (Saa 10:00 jioni)
Yanga vs
Azam (Saa 2:30 usiku)
Januari 08, 2017
Simba vs
Jang'ombe Boys (Saa 10:00 jioni)
Taifa
Jang'ombe vs URA (Saa 2:30 usiku).
Januari 10, 2017
Nusu Fainali
Nusu Fainali
ya kwanza (Saa 10: 00 jioni)
Nusu Fainali
ya Pili (Saa 2:30 usiku)
Januari 13, 2017
FAINALI
Saa 2: 30
usiku.
|
No comments:
Post a Comment