Mhe.Charles Mwijage Aongoza Mnada wa Kuuza bidhaa ili Kuchangia Ujenzi wa Shule ya Msingi Manyora Wilayani Muleba. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Friday, December 30, 2016

demo-image

Mhe.Charles Mwijage Aongoza Mnada wa Kuuza bidhaa ili Kuchangia Ujenzi wa Shule ya Msingi Manyora Wilayani Muleba.

.com/simgad/
1
Mhe.Charles John Mwijage ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika Serikali ya Awamu ya Tano aliyeteuliwa katika Baraza la Mawaziri la mwanzo la Rais John Pombe Magufuli

Ni mbunge wa kuchaguliwa kutoka Jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

2

4

6
Mhe.Charles Mwijage , Hapo Jana December 29,2016  aliongoza mnada wa kuuza bidhaa mbalimbali ikiwemo mifugo ,Lengo ikiwa ni kuchangia ujenzi wa shule ya msingi Manyora kata ya Kagoma Wilayani Muleba mkoani Kagera ambapo zinahitajika Shilingi 100.9 milioni ambapo yeye amechangia Shilingi 1.2 milioni na zilipatikana Shilingi  32.77 milioni.

Katikati ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba Bw Emanuel Sherembi akiwa na wadau wengine katika harambee hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *