Manchester United wanaitandika Sunderland 3-1 ya David Moyes. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, December 27, 2016

demo-image

Manchester United wanaitandika Sunderland 3-1 ya David Moyes.

.com/simgad/
1
Wachezaji wa Manchester United wakimpongeza  Henrikh Mkhitaryan  baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford Usiku wa Jana December 26, 2016 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England 2016/2017.

3

2
Manchester United wanaitandika Sunderland 3-1 katika Mechi ya kwanza kwa David Moyes kwa mara ya kwanza tangu atimuliwe Umeneja na Man United Aprili 2014.

Huo ni ushindi wa 4 mfululizo kwa Manchester United katika EPL na kuwapa Pointi 33 nafasi ya 6 huku Bao zao zilipachikwa na Daley Blind, Zlatan Ibrahimovic Na Bao tamu sana la alieanzia Benchi Henrikh Mkhitaryan. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *