![]() |
Kwa ushindi
huo, Chelsea wamejizatiti kileleni kwa Pointi 9 juu ni wa 12 mfululizo kwenye
EPL kwa Klabu hiyo na kujiwekea Rekodi yao wenyewe na sasa wanakaa kileleni
wakiwa na point 46.
Mabao
mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90
na ushei.
|

No comments:
Post a Comment