Manchester City na Arsenal zashinda Mechi za Ligi EPL 2016/2017. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, December 27, 2016

demo-image

Manchester City na Arsenal zashinda Mechi za Ligi EPL 2016/2017.

.com/simgad/
3
Mashabiki wa Manchester City wakifatilia mchezo wa Timu yao dhidi ya Hull City na  kuifunga  katika ushindi wa mabao  3-0 Usiku wa Jana December 26,2016 Uwanja wa KCOM.

Ushindi huo unawafanya Manchester City wafikishe Pointi 39,nafasi ya Pili kwa mechi 18 nyuma ya Chelsea wenye Pointi 46 huku Nafasi ya 3 wakiwa ni Liverpool wenye Pointi 37 kwa mechi 17 sawa na Arsenal walio na Pointi 37 kwa mechi 18.

2
Nako huko Emirates, Arsenal ilibidi wasubiri hadi Dakika ya 86 kwa Olivier Giroud kuwafungia Bao pekee na la ushindi walipoitungua West Bromwich Albion 1-0.

Mechi za EPL zitaendelea Jumanne kwa Mechi moja huko Anfield kwa Liverpool kuikaribisha Stoke City na Jumatano Mechi moja kati ya Southampton na Tottenham.

Jumanne Desemba 27,2016.

2015 Liverpool v Stoke City                 

Jumatano Desemba 28,2016.

2245 Southampton v Tottenham Hotspur                  

1
Kelechi Iheanacho akimchambua kipa wa Hull City kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 3-0 .

Mabao mengine ya Man City yamefungea na Yaya Toure kwa penalti dakika ya 72 na Curtis Davies aliyejifunga dakika ya 90.

3BA7663100000578-0-image-a-22_1482776524517

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *