|
Mchezaji wa Harambee Stars kwenye
mechi ya awali.
Harambee Stars wameshuka baada ya
kushindwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika na Guinea
Bissau.
Taifa hilo la Afrika Magharibi
limepanda hatua 45 hadi nambari 102.
Guinea Bissau waliichapa Kenya 1-0
mechi ya kwanza tarehe 23 Machi na kwenye mechi ya marudiano wakashinda tena
1-0 jijini Nairobi.
Miongoni mwa mataifa ya Jumuiya ya
Afrika Mashariki, Uganda inaongoza ikiwa nafasi ya 72, Rwanda inafuata nafasi ya
87, Kenya nafasi ya 115, Burundi nafasi ya 122, Tanzania ya 130 na Sudan
Kusini nafasi ya 155.
Orodha ya mataifa kumi bora Afrika ni
kama ifuatavyo:
Algeria
Ivory Coast
Ghana
Senegal
Misri
Cape Verde
Tunisia
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Guinea
Congo
Duniani, orodha ya kumi bora ni kama
ifuatavyo:
Argentina
Ubelgiji
Chile
Colombia
Ujerumani
Uhispania
Brazil
Ureno
Uruguay
England
|
No comments:
Post a Comment