![]() |
|
Mgombea wa Urais wa
Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)
akiwa katika foleni ya wapiga kura ya Uchaguzi wa marudio katika kituo cha
kupiga kura Skuli ya msingi Bungi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo,(wa
pili kulia) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dkt.Idriss Muslim Hija, [Picha na
Ikulu.]
|
![]() |
|
Mgombea wa Urais wa
Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein akipokea karatasi ya kupigia kura kutoka kwa
PA (1) Jaffar Suleiman kituo namba 1cha
kupiga kura ya Uchaguzi wa Marudio Skuli ya Bungi wilaya ya Kati Unguja zoezi
ambalo limefanyika leo,March 20,2016.
|
![]() |
|
Mgombea wa
Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein
akifanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaonesha kidole kilichoingizwa
wino maalum baada ya kipiga kura ya marudio leo katika kituo namba 1cha Skuli
ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.
|

![]() |
|
Mama Mwanamwema Shein
akiiangalia karatasi ya kupigia kura katika uchaguzi wa Marudio baada ya
kukabidhiwa katika chumba namba 3 cha
Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja, [Picha na Ikulu.]
|










No comments:
Post a Comment