![]() |
Chama cha
Mapinduzi Zanzibar ,kimetoa pongezi kwa Rais mteule wa ZANZIBAR Dk. ALI MOHAMMED SHEIN kwa kushinda kwa kishindo Urais
wa Zanzibar kwa kupata kura Laki 299,982 sawa na asilimia 91.4 katika uchaguzi
mkuu wa marudio.
Uchaguzi huo ambao ulifanyika tarehe 20,March,
2016 ambapo wananchi wa Zanzibar walipiga kura kuchagua viongozi katika ngazi
ya Urais , Uwakilishi na Udiwani
|








No comments:
Post a Comment