![]() |
……’’Sisi
tunaopita hapa kwa baiskeli, pikipiki na miguu, ndio tunaona vizuri hatari
inayowakabiri wapitaji wa Magari kama wahusika hawatachukua hatua za haraka
bila kuchelewa..’’…..
Mto huu kwa
sasa umejaa maji tofauti na mwaka jana 2015,ambapo ulikuwa na maji machache
kiasi. Udongo katika daraja umeanza kubomolewa na kasi ya maji! Wahusika (
viongozi wa serikali ) wanayaona haya, maana njia yao ni hii!
Jambo la
ajabu hapa hata alama za Barabara za kuonesha uwepo wa daraja hakuna!
Wahusika
wasipochukua hatua, TCRA mjiandae
kunidaka
nikiripoti tukio.
MWISHO WA
KUTOA TAHADHARI!!
Na:- David Carol –TABORA. |
![]() |
No comments:
Post a Comment